DIAMOND NA WEMA NANI HANA KIZAZI, ZARI NA IDRIS WA BIG BROTHER WANA MAJIBU.
Mshindi  wa shindano la Big Brother Africa 2015 Idris Sulta, athibitisha  kumpa  ujauzito mlimbwende amabaye hakauki vinywani mwa watu kutokana  na  umaarufu wake na urembo wake Wema Sepetu, huku akijivunia kuwa na   mwanamke huyo maishani mwake.                                  Katika   ukurasa wake wa Instagram Idris Sultan ameandika maneno ambayo   yanaashiria wazi mlimbwende huyo ambaye pia anafanya vizuri runingani   kwa filamu za kibongo, kuwa ni mjamzito na yeye akiwa ndiye baba wa   mtoto huyo, huku akisindikiza na ujumbe wa mahaba kwa mwenzi wake huo.   “Me and You are not the ordinary. I sleep, eat, talk and wake up to   only thinking about you. As much as utadhani kuwa you are blessed to   have me no no i am blessed to have you. At 1st it was weird me kuangalia   ndani ya kabati langu kuona nguo zako na viatu au ukiwa unaongea na   mimi unaniambia vitu kama "Hivi baby unahisi akiwa wa kiume utafanyaje   maana naona umekazana na wa kike” aliandika Idris kwenye ukurasa wa...