MKUU WA MAJESHI JENERALI DAVIS AKIWA NA MTU MREFU KUPITA WOTE DUNIANI NDANI YA DUBAI.
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange(wa nne kushoto) pamoja na ujumbe wake, akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga(wa pili kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa Hoteli ya Continental ya Dubai, ambaye kwa sasa ndiye Mtu Mrefu Duniani.
Comments
Post a Comment