LULU,MAPEDESHEE NDIYO WANAOWAFANYA WASANII WA KIKE WA BONGO MOVIE WAWE NAKIPATO KIKUBWA.

ELIZABERTH Michael‘ Lulu’ ni moja ya wasanii wa kike wanaoendesha maisha yako kwa sanaa ya muvi lakini je ndivyo ilivyo kweli!.. Lulu amefunguka kuwa wasanii wa kike wa filamu wana biashara nyingine iliyojificha ndani ya ile ya filamu ambayo inawalipa zaidi.
Elizabeth Michael ‘Lulu’,akiwa kwenye pozi.
Elizabeth Michael ‘Lulu’,akiwa kwenye pozi.
Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejee kuendesha maisha yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie wanalipwa vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.
“Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi wetu kudumaa na hatuwazi kufanya mambo makubwa kwa kuigiza na wasanii wakubwa lakini hakuna anayeliona hili,” alifafanua.
“Hakuna anayefirikiria kuigiza na wasanii wa kimataifa kama Ritha Dominic ili sanaa imlipe na wengi wanawategemee mapedejee au biashara zisizo rasmi, kwani filamu inaonekana ipo juu lakini wahusika wake wanalipwa kwa staili nyingine kabisa,” alisema

Comments

Popular posts from this blog

STYLE KALI:TUMIA HII NDANI YA DAKIKA MOJA TU MWANAMKE AMEKOJOA.

KISIMI (kinembe) kikichezewa mwanamke anaweza kuwataja maawara zake wote.