Jeshi la Polisi Tanzania latoa tamko juu ya viungo vya binadamu vilivyopatikana July 21
 Kama
 mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii kuanzia usiku wa July 21 kulisambaa 
taarifa na picha zinazoonyesha viungo mbalimbali vya binadamu ambavyo 
vilitupwa katika daraja la Mpiji.
Kama
 mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii kuanzia usiku wa July 21 kulisambaa 
taarifa na picha zinazoonyesha viungo mbalimbali vya binadamu ambavyo 
vilitupwa katika daraja la Mpiji.
Kamanda wa Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni ameongea na Power 
Breakfast ya Clouds Fm na kusema>>’Kweli tumekwenda tumevikuta 
viungo mbalimbali vya binadamu kama mikono,miguu,vichwa na viungo 
vingine’
‘Lakini vipo ndani ya mifuko ya sulphet na iko mifuko kama 80 hivi 
lakini tumechukua viungo hivyo na kuvipeleka hospital ya Muhimbili 
kwanza kuhifadhi na kwa ajili ya uchunguzi Mpaka sasa hakuna mtu 
aliyekamatwa’
 
 
 
Comments
Post a Comment