CHAMA CHA MAPINDUZI NDANI YA DODOMA MAPAMBANO YA KIUCHUMI
 Mwenyekiti wa 
CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanga makabrasha tayari 
kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ambapo masuala ya kujiendesha
 kiuchumi na mipango ya maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa 
yanajadiliwa. 
 

Katibu wa NEC Itikadi na 
Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa 
NEC mjini Dodoma ambapo aliwaeleza juu ya kikao cha Halmashauri Kuu ya 
Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana Oktoba 16, 2014 katika siku ya 
kwanza ya kikao chake cha siku mbili kinachoendelea mjini Dodoma chini 
ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili na kupitisha 
Sera ya CCM ya kujitegemea kimapato na kiuchumi. 

 
 
 
Comments
Post a Comment