
 Pichani
 ni Washiriki waliochaguliwa kuingia kwenye hatua ya tano bora katika 
shindano la Redds Miss Tanzania 2014 linaloendelea hivi sasa ndani ya 
ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar.

 Mmoja wa Washiriki waliongia katika nafasi ya tanno bora shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakijibu maswali mbalimbali

 Mmoja
 wa wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya pichani kulia Ommy Dimpoz 
akitumbuiza jukwaani akiwa sambamba na msanii Vanessa Mdee mbele ya 
wageni waalikwa (hawapo pichani),waliofika kushuhudia shindano hilo.

Washiriki wa Redds Miss Tanzania 2014 wapatao 15 mara baada ya kuchujwa. 

 Sehemu
 ya baadahi ya Wageni waalikwa wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye 
shindano hilo la kumsaka Kinara wa Redds Miss Tanzania 2014 

Baadhi
 ya Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakicheza moja ya 
onesho lao la ufunguzi wa shindano hilo,ambapo mshindi atatangazwa usiku
 huu na kujinyakulia kiasi cha shilingi miloni 18 taslim.

 Baadhi ya Washiriki wa shindano la Redds Miss Tanzania 2014,wakiwa jukwaani na mavazi ya ufukweni. 

 Msaniii
 wa Muziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee a.k.a V-Money akitumbuiza kwenye
 shindano la kumsaka mshindi wa Redds Miss Tanzania 2014,yanayofanyika 
usiku huu ndani ya moja ya ukumbi wa Mlimani,jijini Dar. 

 Washiriki wa shindano la Redds Miss Tanzania 2014 wakikatiza jukwaani na mavazi yao ya ubunifu

 Baadhi ya Majaji wakifuatilia kwa makini 

Pichani
 ni Washiriki wa Redds Miss Tanzania 2014 wapatao 30 wakiwa jukwaani 
tayari kwa kuanza kuchujwa kupata washiriki 15 bora.
 
 
Comments
Post a Comment