mbili alizotupia Jokate leo Instagram. ‘huyo ananimaliza’ @JokateM


Screen Shot 2014-08-21 at 1.46.23 PM
millardayo.com inatambua kwamba Jokate ameshaingia rasmi kwenye kufanya muziki wa bongofleva huku akithibitisha kuwa na nyimbo alizorekodi tayari na atazitoa hivi karibuni kwenye Radio, ni kitu ambacho alikizungumza baada ya kupanda kwa suprise kwenye stage ya Fiesta 2014 Mwanza na kuperform moja ya nyimbo hizo mpya
Baada ya kukueleza hayo nataka kukukutanisha na picha alizoweka Jokate leo ambapo moja ameandika ‘huyo ananimaliza‘ na nyingine ameandika ‘nampeleka kwa babu wangu wa Kingoni
Bila kutoa maelezo zaidi ya hapo ambapo Wataalamu wa mambo wanahisi hii inaweza kuwa teaser ya video yake mpya kutoka kwenye moja kati ya nyimbo zake.
Screen Shot 2014-08-21 at 1.46.32 PMScreen Shot 2014-08-21 at 1.48.46 PMScreen Shot 2014-08-21 at 1.48.52 PMNi halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu na niko tayari kukutumia wakati wowote iwe usiku au mchana iwapo utakua umejiunga na mimi kwa kubonyeza hapa >>> twitter Insta FB

Comments

Popular posts from this blog

STYLE KALI:TUMIA HII NDANI YA DAKIKA MOJA TU MWANAMKE AMEKOJOA.

KISIMI (kinembe) kikichezewa mwanamke anaweza kuwataja maawara zake wote.