MKUTANO BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) KUFANYIKA DAR AGOSTI 27
 Mbuge Shyrose akijibu swali la mwandishi (hayupo pichani)  Nyuma yake ni Mbuge Twaha Taslima.
Mbuge Shyrose akijibu swali la mwandishi (hayupo pichani)  Nyuma yake ni Mbuge Twaha Taslima.
 Wajumbe  na waandishi wakisikiliza taarifa kutoka kwa spika wa bunge hilo.
Wajumbe  na waandishi wakisikiliza taarifa kutoka kwa spika wa bunge hilo. Baadhi
 ya wajumbe na wanahabari wakijadiliana nje ya ukumbi wa Mkwawa uliopo 
jengo la Ofisi ndogo ya Bunge, jijini Dar es Salaam.
Baadhi
 ya wajumbe na wanahabari wakijadiliana nje ya ukumbi wa Mkwawa uliopo 
jengo la Ofisi ndogo ya Bunge, jijini Dar es Salaam.
MKUTANO
 wa kwanza wa kikao cha tatu cha  Bunge la Tatu la Jumuiya ya Afrika 
Mashariki (EALA) unaoanza Agosti 27 hadi Septemba 5 mwaka huu utafanyika
 ukumbi wa Karimjee  jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa
 waraka ambao ulisomwa na spika wa bunge hilo, Margaret Zziwa, hii ni 
mara ya kwanza kwa Bunge la Tatu kufanya mkutano wake Dar es Salaam, 
ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa kupeana zamu kwenye nchi zote wanachama 
ili kuliweka bunge karibu na wananchi.
Na Gabriel Ng’osha/GPL
Comment



 
 
 
You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers