MKUTANO BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) KUFANYIKA DAR AGOSTI 27


Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Margaret Zziwa, akisisitiza jambo kwa wajumbe.
Mbuge Shyrose akijibu swali la mwandishi (hayupo pichani)  Nyuma yake ni Mbuge Twaha Taslima.
Wajumbe  na waandishi wakisikiliza taarifa kutoka kwa spika wa bunge hilo.
Mbuge toka Rwanda, Patricia Hajabakiga, akiwa katika mkutano.
Muonekano wa mkutano ulivyokuwa.
Baadhi ya wajumbe na wanahabari wakijadiliana nje ya ukumbi wa Mkwawa uliopo jengo la Ofisi ndogo ya Bunge, jijini Dar es Salaam.
MKUTANO wa kwanza wa kikao cha tatu cha  Bunge la Tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) unaoanza Agosti 27 hadi Septemba 5 mwaka huu utafanyika ukumbi wa Karimjee  jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waraka ambao ulisomwa na spika wa bunge hilo, Margaret Zziwa, hii ni mara ya kwanza kwa Bunge la Tatu kufanya mkutano wake Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa kupeana zamu kwenye nchi zote wanachama ili kuliweka bunge karibu na wananchi.
Na Gabriel Ng’osha/GPL
Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comments

Popular posts from this blog

STYLE KALI:TUMIA HII NDANI YA DAKIKA MOJA TU MWANAMKE AMEKOJOA.

KISIMI (kinembe) kikichezewa mwanamke anaweza kuwataja maawara zake wote.