UHAMIAJI ,WIZARA YA NDANI IMEZIFUTA RASIMI NAFASI 200 ZA AJIRA ZILIZOTOLEWA KWA UNDUGU MWAKA 2014


WIZARA ya mambo ya ndani ya nchi imeamua kuzifuta rasmi nafasi 228 za kazi zilizotolewa na UAMIAJI.
Hililimetokea baada ya kugundulika kuwa waajiriwa wengi waliajiriwa bila usawa na bila vigezo.


WIZARA iliamua kuzifuta nafasi hizi zote 228 kwani baadha ya waombaji walikuwa hawana vigezo wala elimu inayojitosheleza kulingana na nafasi walizoziombea .

Baathi ya waajiriwa ambao wanaonakana kuwa na undugu wa moja kwa moja na waajiri wa UAMIAJI hawakuwa na vigezo kama vile kuwa na umri unazidi miaka 25 ambacho kilikuwa kigezo cha msingi kwa baadhi ya nafasi za kazi kama vile koplo na konstebo.


Pamoja na haya maamuzi ya kuzifutilia mbali ajira hizi WIZARA imeunda tume ya watu watano kufuatilia suala hili kwa kina ndani ya siku 10 kuanzia tarehe 1 mpaka 10 augusti.

Comments

Popular posts from this blog

STYLE KALI:TUMIA HII NDANI YA DAKIKA MOJA TU MWANAMKE AMEKOJOA.

KISIMI (kinembe) kikichezewa mwanamke anaweza kuwataja maawara zake wote.