WASANII WA BONGO AKIWEMO SHILOLE ,WAKIMFARIJI MSANII MWENZAO AFANDE SELE.

 
Baadhi ya Wasanii waliokuwa kwenye onesho la Kilimanjaro Music Tour lililofanyika mkoani Dodoma jana,leo walipitia nyumbani kwa Mfalme wa Rhymes a.k.a Simba Mzee a.k.a Afande Sele kumpa mkono wa pole na kumfariji kufuatia kifo cha Mzazi mwenzake Mama Tunda kilichotokea mwisho mwa wiki mjini Morogoro.Pichani ni Msanii wa Muziki wa Bongofleva atambulikae kwa jina la Shilole akimfariji Afande Sele.…

SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA USIKU WA KUAMKIA LEO

Posted by GLOBAL on August 18, 2014 at 9:30am 0 Comments
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo Kahama.…
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama.
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo Kahama.
Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.
Staa wa Bongo Fleva, Jux akiimba wimbo wake mpya wa Nitasubiri.
Rais wa Manzese, Madee akikaporomosha mashairi ya ngoma yake mpya ya Ni Sheeda.
Msanii wa Bongo Fleva, Mo Music akiimba wimbo wake.
Staa wa Bongo Fleva, Mr. Blue.
Staa wa Bongo Fleva, Linna Sanga akishambulia jukwaa.
BK Sande akishambulia jukwaa.
Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo akiwa kazini.
Msanii wa Super Nyota 2013 akishambulia jukwaa.
Watangazaji wa Clouds FM, DJ Fetty akiwa na DJ Muli B.
(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL, KAHAMA)

AISHA MADINDA MUNGU MKUBWA!

Posted by GLOBAL on August 18, 2014 at 8:30am 0 Comments
Stori: Gladness Mallya
Mungu mkubwa! Mkata mayenu wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Aisha Madinda amekula shavu la kwenda kunengua Dubai na kuachana na bendi hiyo kwa muda.Kwa mujibu wa chanzo makini ndani ya bendi hiyo, Aisha alikuwa ameshaanza kufanya mazoezi lakini hivi karibuni amekwenda Dubai kwa ajili ya kucheza shoo.
Mkata mayenu wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Aisha Madinda akiwa kazini.
“Unajua wanenguaji wengi huwa wanachukuliwa na kwenda kucheza shoo…

Comments

Popular posts from this blog

STYLE KALI:TUMIA HII NDANI YA DAKIKA MOJA TU MWANAMKE AMEKOJOA.

KISIMI (kinembe) kikichezewa mwanamke anaweza kuwataja maawara zake wote.