WASANII WA BONGO AKIWEMO SHILOLE ,WAKIMFARIJI MSANII MWENZAO AFANDE SELE.
Baadhi
 ya Wasanii waliokuwa kwenye onesho la Kilimanjaro Music Tour 
lililofanyika mkoani Dodoma jana,leo walipitia nyumbani kwa Mfalme wa 
Rhymes a.k.a Simba Mzee a.k.a Afande Sele kumpa mkono wa pole na 
kumfariji kufuatia kifo cha Mzazi mwenzake Mama Tunda kilichotokea 
mwisho mwa wiki mjini Morogoro.Pichani ni Msanii wa Muziki wa Bongofleva
 atambulikae kwa jina la Shilole akimfariji Afande Sele.…
 


SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA USIKU WA KUAMKIA LEO
                                                    Posted by GLOBAL on August 18, 2014 at 9:30am                        
    
                    0 Comments
                                
                    0 Likes
                
                
                    
 Msanii
 wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani 
katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama.
 Msanii
 wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani 
katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama. Msanii
 wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani 
katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama.
Msanii
 wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani 
katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama.
(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL, KAHAMA)
AISHA MADINDA MUNGU MKUBWA!
                                                    Posted by GLOBAL on August 18, 2014 at 8:30am                        
    
                    0 Comments
                                
                    0 Likes
                
                
                    
 Stori: Gladness Mallya
 Stori: Gladness MallyaMungu mkubwa! Mkata mayenu wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Aisha Madinda amekula shavu la kwenda kunengua Dubai na kuachana na bendi hiyo kwa muda.Kwa mujibu wa chanzo makini ndani ya bendi hiyo, Aisha alikuwa ameshaanza kufanya mazoezi lakini hivi karibuni amekwenda Dubai kwa ajili ya kucheza shoo.
“Unajua wanenguaji wengi huwa wanachukuliwa na kwenda kucheza shoo…















 
 
 
Comments
Post a Comment